George W. Bush | |
Rais Bush, mnamo 2003 | |
Rais wa Marekani
| |
Aliingia ofisini Januari 20, 2001 | |
Makamu wa Rais | Dick Cheney |
---|---|
mtangulizi | Bill Clinton |
aliyemfuata | Barack Obama |
tarehe ya kuzaliwa | 6 Julai 1946 |
utaifa | American |
chama | Republican |
ndoa | Laura Welch (m. 1977–present) |
watoto | Barbara Bush (b. 1981) Jenna Bush |
signature | |
tovuti | http://www.georgewbush.com |
George Walker Bush ( /ˈdʒɔrdʒ ˈwɔːkər ˈbʊʃ/ (info), alizaliwa 6 Julai 1946) alikuwa rais wa Marekani tangu mwaka 2001 mpaka mwaka 2009. Yeye ni mwenyeji wa jimbo la Texas alipokuwa gavana kabla ya kugombea urais.
George W. Bush ni mwana wa rais George H. Bush aliyetawala Marekani kati ya miaka 1989 - 1993. George W. amemwoa Laura Bush wana mabinti mawili.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search